Ni kiwanda bora na cha kisasa kilichopo jijini Mbeya na chenye kuzalisha mabati yenye viwango na Rangi mbalimbali.
Unapofikiria kujenga jenga na Mbeya Roofing Sheet Co.Ltd.
Kwanini uchague Mbeya Roofing Sheets.?
1..Kwanza yana ubora wa kimataifa uliothibitishwa na TBS.Ni bora na imara Kwa matumizi ya nyumba za aina zote..
2..Yatakufikia mahali ulipo bila usumbufu wowote kwasababu yanatengenezwa hapahapa jijini mbeya..
3..Hayapati kutu haraka kwasababu yanamchanganyiko wa Zinc na Aluminium..
4..Bando za bati za kawaida zinapatikana pia..
5..Yanapendezesha nyumba na kuifanya yenye mvuto wa hali ya juu..
6..Yanaongeza thamani ya nyumba na kuifanya iwe bora zaidi..
7..Yanastahimili misimu yote iwe mvua au jua ,mabati yanabaki na ubora uleule..
8.Yanapatikana Kwa urefu wowote unaotaka hivyo hakuna hasara ama uharibifu wa kukatakata mabati ovyo..
9..Unapotaka mabati kwaajiri ya nyumba yako,Order inafanyiwa kazi na unapata siku hiyohiyo..
Kumbuka bei zetu ni nafuu sana.Hauhitaji tena kuagiza mabati kutoka Nje ya MKOA huu wa mbeya.Hivyo unaokoa gharama kubwa na unapata mabati Kwa aina ,Rangi na ukubwa unaolingana na mahitaji ya paa LA nyumba yako.!!
Huna haja ya kukatakata mabati tena!.
Kwa mawasiliano zaidi:0756711860 au
0715711860. Au barua pepe
lucasromanus1986@gmail.com
Au Mbeyaroofing.blogspot. com
Unapofikiria kujenga jenga na :
JibuFutaMbeya roofing Sheet Co.ltd
nimependa sana hiyo makala
JibuFutaMnapatikana eneo gani
JibuFutaGeji 30 ft kumi beigani?
JibuFutaMnapatikana mbeya sehm gn
FutaAlex ngasala bandro moja bei gani
FutaMnapatikana Mbeya sehemu gani..??
JibuFutaMnapatikana mbeya sehemu gani?
JibuFutaMko wapi
JibuFutaBati migongo midogo ya rangi bei gani
JibuFutaGaji 30 futi kumi
Can I send a quotation
JibuFutaMbeya sehemu gani mnapatikana
JibuFuta